BARIADI, SIMIYU
Mwenyekiti wa Kamati ya Sensa Wilaya ya Bariadi anapenda Kuwataarifu waombaii wa kazi wote katika Halmashauri ya Mji Bariadi waliofanya usaili tarehe 19-20 Julai,2022 Kwa ajili ya kutanya kazi za Muda za Sensa ya Watu na Makazi 2022. Wanaoitwa kwenye kazi za ajira ya muda ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 ni Makarani, Wasimamizi wa Maudhui na Wasimarnizi wa TEHAMA. Majina ya wanaioitwa kazini yameambatishwa hapa chini.
BARIADI TC_ WALIOFAULU USAILI WA MAKARANI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAUDHUI.pdf
Along Bariadi-Lamadi Road
Anuani ya Posta: P. O. Box 526, Bariadi
Simu ya Mezani: +255 (28) 2700554
Simu: ******
Barua Pepe: info@bariaditc.go.tz
Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.