• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
BARIADI TOWN COUNCIL
BARIADI TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Mji Bariadi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhima na Dira
    • Historia
  • Huduma
    • Leseni za Biashara
    • Hati za Viwanja
    • Tozo za Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
    • Kitengo
  • Machapisho
    • Fomu
    • Ripoti
    • Habari
    • Waraka
    • Sheria
    • Sera
    • Gazeti la Serikali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
  • Miradi
  • Tangazo
  • Michezo na Burudani
  • Zabuni

RC MACHA NA WANANCHI WAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA KWA KUPANDA MITI SOMANDA

Zilizopandishwa: January 27th, 2026

Bariaditc. Katika Kuadhimisha Sikukuu ya Kuzaliwa Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anamringi Macha amewaongoza Wananchi Watumishi pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Somanda kushiriki zoezi la  upandaji  Miti katika Shule hiyo

Zoezi hilo limefanyika ikiwa ni  sehemu ya kumuunga mkono Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa kwa kuenzi jitihada zake za kulinda Mazingira na kukuza Maendeleo endelevu

Mhe.Macha ameungana na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na Wilaya akiwemo  Mkuu wa Wilaya ya Bariadi  Mhe.Simon Simalenga ,Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Imelda Kirima pamoja na wakuu wa Idara na vitengo.



Matangazo

  • TANGAZO LA MRADI WA TACTIC HALMASHAURI YA MJI BARIADI March 09, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA KAZI YA UDEREVA DARAJA LA II ULIOFANYIKA TAREHE 28/02/2023 February 28, 2023
  • JINSI YA KUBADILISHA TAHUSUSI (COMBINATION) KIDATO CHA TANO June 13, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MACHA NA WANANCHI WAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA KWA KUPANDA MITI SOMANDA

    January 27, 2026
  • HERI YA SIKU YA KUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2026
  • ONGEZENI KASI KWENYE KUONYESHA MIRADI ILIYOFANYIKA

    February 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA MATENGENEZO YA BARABARA NA MADARAJA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 TSHS 2,060,610,000.00

    February 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara ya Mhe Rais Mjini Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Union Day
  • BARIADITC

Tovuti Mashuhuri

  • Watumishi Portal
  • OR-Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Along Bariadi-Lamadi Road

    Anuani ya Posta: P. O. Box 526, Bariadi

    Simu ya Mezani: +255 (28) 2700554

    Simu: ******

    Barua Pepe: info@bariaditc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.