• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
BARIADI TOWN COUNCIL
BARIADI TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Mji Bariadi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhima na Dira
    • Historia
  • Huduma
    • Leseni za Biashara
    • Hati za Viwanja
    • Tozo za Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
    • Kitengo
  • Machapisho
    • Fomu
    • Ripoti
    • Habari
    • Waraka
    • Sheria
    • Sera
    • Gazeti la Serikali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
  • Miradi
  • Tangazo
  • Michezo na Burudani
  • Zabuni

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Zilizopandishwa: February 7th, 2025

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Bariadi ambaye ni Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu Imelda Kirima amewasilisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026 ya Tshs 29,235,121,948.00 ambapo amesema mapendekezo hayo yamefanyika kwa kuzingatia miongozo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuzingatia sheria ya Bajeti,Sura Namba 439 na kanuni zake za Mwaka 2015.

Aidha ameongeza kuwa Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango wa Bajeti ya Serikali uliotolewa na Wizara ya Fedha na Mipango Mwaka 2025/2026,Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020.

Pia Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Mji Bariadi (2021/22-2025/2026),Mpango wa Maendeleo wa Taifa (2021/22-2025/2026) na agenda ya Afrika Mashariki 2050 ya Dira ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika 2050.


 MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA MRADI WA TACTIC HALMASHAURI YA MJI BARIADI March 09, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA KAZI YA UDEREVA DARAJA LA II ULIOFANYIKA TAREHE 28/02/2023 February 28, 2023
  • JINSI YA KUBADILISHA TAHUSUSI (COMBINATION) KIDATO CHA TANO June 13, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ONGEZENI KASI KWENYE KUONYESHA MIRADI ILIYOFANYIKA

    February 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA MATENGENEZO YA BARABARA NA MADARAJA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 TSHS 2,060,610,000.00

    February 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI 2025/2026 BILIONI 29,235,121,948.00

    February 07, 2025
  • ONGEZENI UMAKINI NA MIKAKATI KWENYE UKUSANYAJI WA MAPATO

    February 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara ya Mhe Rais Mjini Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Union Day
  • BARIADITC

Tovuti Mashuhuri

  • Watumishi Portal
  • OR-Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Along Bariadi-Lamadi Road

    Anuani ya Posta: P. O. Box 526, Bariadi

    Simu ya Mezani: +255 (28) 2700554

    Simu: ******

    Barua Pepe: info@bariaditc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.