• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
BARIADI TOWN COUNCIL
BARIADI TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Mji Bariadi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhima na Dira
    • Historia
  • Huduma
    • Leseni za Biashara
    • Hati za Viwanja
    • Tozo za Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
    • Kitengo
  • Machapisho
    • Fomu
    • Ripoti
    • Habari
    • Waraka
    • Sheria
    • Sera
    • Gazeti la Serikali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
  • Miradi
  • Tangazo
  • Michezo na Burudani
  • Zabuni

ONGEZENI KASI KWENYE KUONYESHA MIRADI ILIYOFANYIKA

Zilizopandishwa: February 7th, 2025

Afisa Usimamizi Fedha Mwandamizi Kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Charles Kilapilo amekielekeza kitengo cha Mawasiliano na Habari Serikalini kuhakikisha wanaongeza kazi ya utoaji habari ikiwemo kuchapisha kazi Za miradi mbalimbali iliyotekelezwa na serikali ili wananchi waweze kuona kazi hizo zilizofanyika kwani wao ndio wanufaika namba moja na miradi hiyo ambayo imeletewa fedha na serikali .


Aidha Kilapilo amezitaka pia  taasisi Za serikali na wakuu wa idara na divisheni kuhakikisha wanahudhuria vikao vya mabaraza ya Madiwani kikamilifu  na kuwasilisha taarifa mapema.

Hatahivyo Kilapilo amepongeza mapendekezo ya Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2025/2026 kuwa imezingatia mambo muhimu ikiwemo ilanı ya Chama cha Mapinduzi  huku akitaka kuongeza mikakati ya kuthibiti na ukusanyaji wa mapato ili Bajeti hiyo iweze kutekelezeka na kuleta manufaa kwa wananchi zaidi kwa kupeleka miradi yenye kipaumbele chao.


Kilapilo ameyasema hayo wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Bariadi cha kupitisha Mapemdekezo ya Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 ambayo imepitishwa na baraza hilo leo Februari 7,2025

Matangazo

  • TANGAZO LA MRADI WA TACTIC HALMASHAURI YA MJI BARIADI March 09, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA KAZI YA UDEREVA DARAJA LA II ULIOFANYIKA TAREHE 28/02/2023 February 28, 2023
  • JINSI YA KUBADILISHA TAHUSUSI (COMBINATION) KIDATO CHA TANO June 13, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ONGEZENI KASI KWENYE KUONYESHA MIRADI ILIYOFANYIKA

    February 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA MATENGENEZO YA BARABARA NA MADARAJA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 TSHS 2,060,610,000.00

    February 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI 2025/2026 BILIONI 29,235,121,948.00

    February 07, 2025
  • ONGEZENI UMAKINI NA MIKAKATI KWENYE UKUSANYAJI WA MAPATO

    February 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara ya Mhe Rais Mjini Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Union Day
  • BARIADITC

Tovuti Mashuhuri

  • Watumishi Portal
  • OR-Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Along Bariadi-Lamadi Road

    Anuani ya Posta: P. O. Box 526, Bariadi

    Simu ya Mezani: +255 (28) 2700554

    Simu: ******

    Barua Pepe: info@bariaditc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.