• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
BARIADI TOWN COUNCIL
BARIADI TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Mji Bariadi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhima na Dira
    • Historia
  • Huduma
    • Leseni za Biashara
    • Hati za Viwanja
    • Tozo za Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
    • Kitengo
  • Machapisho
    • Fomu
    • Ripoti
    • Habari
    • Waraka
    • Sheria
    • Sera
    • Gazeti la Serikali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
  • Miradi
  • Tangazo
  • Michezo na Burudani
  • Zabuni

ONGEZENI UMAKINI NA MIKAKATI KWENYE UKUSANYAJI WA MAPATO

Zilizopandishwa: February 7th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mheshimiwa Simon Simalenga ameitaka Halmashauri ya Mji Bariadi kuongeza umakini kwenye ukusanyaji wa mapato huku kukiwepo na mikakati thabiti ya namna bora ya ukusanyaji mapato.

Mheshimiwa Simalenga ameagiza Halmashauri ya Mji Bariadi kutenga bajeti kwa ajili ya ununuzi wa vitendea kazi ikiwemo magari ili kurahisisha shughuli ya ukusanyaji mapato huku akitaka bajeti iendane na mahitaji ya wananchi.

Aidha ameagiza kuweka udhibiti na kuongeza umakini kwenye zao la pamba na mbegu za pamba kwa kutaka uwepo na ushirikiano ili kudhibiti ubadhilifu wowote unaoweza jitokeza.

Ameyasema hayo leo wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani la kupitisha Mapendekezo ya Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2025/2026 katika Halmashauri ya Mji Bariadi


Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini 

Halmashauri ya Mji Bariadi

Matangazo

  • TANGAZO LA MRADI WA TACTIC HALMASHAURI YA MJI BARIADI March 09, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA KAZI YA UDEREVA DARAJA LA II ULIOFANYIKA TAREHE 28/02/2023 February 28, 2023
  • JINSI YA KUBADILISHA TAHUSUSI (COMBINATION) KIDATO CHA TANO June 13, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ONGEZENI KASI KWENYE KUONYESHA MIRADI ILIYOFANYIKA

    February 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA MATENGENEZO YA BARABARA NA MADARAJA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 TSHS 2,060,610,000.00

    February 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI 2025/2026 BILIONI 29,235,121,948.00

    February 07, 2025
  • ONGEZENI UMAKINI NA MIKAKATI KWENYE UKUSANYAJI WA MAPATO

    February 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Ziara ya Mhe Rais Mjini Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Union Day
  • BARIADITC

Tovuti Mashuhuri

  • Watumishi Portal
  • OR-Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Along Bariadi-Lamadi Road

    Anuani ya Posta: P. O. Box 526, Bariadi

    Simu ya Mezani: +255 (28) 2700554

    Simu: ******

    Barua Pepe: info@bariaditc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.